JACK WA MAISHA PLUS BADILIKA!!!!

0 comments


Jack hivi unajua ulichofanya hapo mama! naimani hatakabla hujaanza safari yako yani upo nyumbani ulikuwa na akili timamu, sasa iweje uchindwe kuvaaa kufuri mmh! na wakati unajua kabisa nguo uliyovaa nivupi mama mbona unatutia aibu wanawake wenzako! hapana dear umekosea tena sana tena sana ni aibu sio kila kitu unakianika hadharani mama, vingini ni siri wangu! ,jua ya kwamba unaweza fanya kitu kikakushushia heshima yako dear nimesikitika sana kuona habari yako kupitia blogzajamii inakatisha tamaa mama.BADILIKA.
any way umepndeza na style yako ya nywele na sikunyengine  ukivaa nguo yako ya mikono wazi weka mkanda ule ambao colourless au sidiria ambayo haina mkanda.


Post a Comment