HAMMER Q AMCHARAZA MKEWE NA VIOO!!!

0 comments
 
 
MSANII WA TAARABU NA BONGO FLEVA HAMMER Q AMPA KIPIGO MKEWE SALHA NA KUMCHANA NA VIOO MWILINI KISA CHENYEWE NI MKEWE KUMTAMBULISH TX MOSHI NI KAKA YAKE!!! Lol imeniumaa sana kuona mwanaume kama wewe mtanashati kuwa natabia mbayana tena mbaya  yani ona aibu lol !!! janaume zima unamtwanga mtu ambaye hata iweje halingani nguvu  na wewe lol huna hata hurumaa! alafu unajita msanii  unajua maana ya usanii wewe acha hizo mwanaume lijalu na ambaye ameelimika kamwe hawezi fanya utumbo kama huo lol kiukweli umetuchefua hammer badilika ! na jua ni aibu kwa kitendo ulichofanya na kumbuka mwanamke ametoka kwenye ubavu wako  uonee uchungu .
KIUKWELI SIWAPENDI NA SITOWAPENDA WANAUME ABAO WANATUMIA MABAVU YAO YA KIUME KUWAPIGA WANAWAKE NA MKAE MKIJUA KAMA MWANAUME MWENYE TABIA HII AJIJUE HAJATIMIA UANAUMEE.





 
 

janaume zima lina mpiga eti mwanake mpaka suruali inakuwa hivi lol !1
 
 
Source didahmitikisiko.blogspot.com
 



Post a Comment